Wed, 27 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika kati ya mchezo wa Simba dhidi ya Polisi Tanzania huku kukiwa hakuna mbabe.
Katika dakika hizo 45 za kipindi cha kwanza Simba wametawala sehemu kubwa ya mchezo lakini Polisi Tanzania wameonekana kuwa hatari zaidi katika kufanya mashambulizi ya hatari.
Kadi tatu za njano zimetoka, Plisi Tanzania 2 na simba wamepata 1 mpaka sasa ambapo kwa upande wa polisi ni mabeki Yondani na Makapu.
Simba ni Hassan Dilunga HD.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live