Mchezaji wa zamani wa Liverpool ya Uingereza, Graeme Souness amesema kuwa nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandez kwa uwezo wake hastahili kucheza katika timu hiyo na kama angecheza Manchester City au Liverpool basi angekuwa na uwezo mkubwa zaidi ya alikuwa nao sasa
Mchezaji wa zamani wa Liverpool ya Uingereza, Graeme Souness amesema kuwa nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandez kwa uwezo wake hastahili kucheza katika timu hiyo na kama angecheza Manchester City au Liverpool basi angekuwa na uwezo mkubwa zaidi ya alikuwa nao sasa "Bruno Fernandes ni mchezaji ila sidhani kama anafaa kuwa nahodha. Kwenye ishu ya ubora kama angechezea Liverpool au Man City angekuwa mchezaji bora zaidi. Lakini, muda wote amekuwa akitikisa kichwa kutokana na kukasirishwa. Nakubali pia amekuwa akitoka mchezoni mapema na hilo ndio udhaifu wake,” amesema Souness