Wed, 21 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa kimataifa wa Ujerumani Ilkay Gündogan amekamilisha uhamisho wake wa kutua Barcelona kwa uhamisho huru baada ya mkataba wake kufikia tamati na Manchester City.
Kiungo wa kimataifa wa Ujerumani Ilkay Gündogan amekamilisha uhamisho wake wa kutua Barcelona kwa uhamisho huru baada ya mkataba wake kufikia tamati na Manchester City. Gundogan amesaini mkataba wa miaka miwili mpaka Juni 2025 kukiwa na kipengele cha kuongeza mwaka mmoja zaidi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live