Mon, 19 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nahodha wa Manchester City, Ilkay Gundogan ni miongoni mwa wachezaji walioorodheshwa watakaoachwa kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi baada ya mkataba kufika tamati.
Nahodha wa Manchester City, Ilkay Gundogan ni miongoni mwa wachezaji walioorodheshwa watakaoachwa kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi baada ya mkataba kufika tamati. Gundogan alikuwa mchezaji muhimu kwenye mafanikio ya Man City msimu wa 2022-23 ilipobeba mataji matatu, ambapo alifunga mabao 11 na asisti saba katika mechi 51.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live