Tue, 6 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Guinea kutolewa kwenye Robo Fainali ya AFCON 2023, nahodha wa Guinea Naby Keita aliwaongoza wachezaji wenzake kurudisha bendera ya nchi kwa kiongozi wa kijeshi wa Guinea katika Ikulu ya Guinea Conakry.
Baada ya Guinea kutolewa kwenye Robo Fainali ya AFCON 2023, nahodha wa Guinea Naby Keita aliwaongoza wachezaji wenzake kurudisha bendera ya nchi kwa kiongozi wa kijeshi wa Guinea katika Ikulu ya Guinea Conakry. Guinea walitolewa na Congo kwenye mchezo wa Robo Fainali kwa magoli 3-1, kwenye mchezo huo Guinea walionesha uwezo mkubwa licha ya kutolewa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live