Mon, 5 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wingi wa watu nchini Guinea wamejitokeza Katika Mji Wa Conakry ili kuipokea timu Yao ya taifa ikitokea AFCON 2023 nchini Ivory Coast.
Wingi wa watu nchini Guinea wamejitokeza Katika Mji Wa Conakry ili kuipokea timu Yao ya taifa ikitokea AFCON 2023 nchini Ivory Coast. Guinea iliaga michuano hiyo Ijumaa iliyopita baada ya kufungwa 3-1 na DR Congo katika Mchezo wa robo fainali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live