Mon, 6 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Joseph Guede anakuja Yanga Sc alikuta timu ipo vizuri kwa hiyo ilikuwa ngumu kwake kuingia kwenye mfumo kwa sababu tayari timu ilikuwa ipo vizuri na timu isingeweza kubadilisha mfumo ili kumpa nafasi Guede.
Wakati Joseph Guede anakuja Yanga Sc alikuta timu ipo vizuri kwa hiyo ilikuwa ngumu kwake kuingia kwenye mfumo kwa sababu tayari timu ilikuwa ipo vizuri na timu isingeweza kubadilisha mfumo ili kumpa nafasi Guede. "Kwa sasa tayari Guede ameanza kuulewa mfumo wa klabu ya Yanga na ameanza kwenda nao sambamba."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live