Wed, 8 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji Muivory Coast, Joseph Gnadou Guede ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Yanga kwa mwezi Aprili mwaka huu.
Mshambuliaji Muivory Coast, Joseph Gnadou Guede ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Yanga kwa mwezi Aprili mwaka huu. Guede ameshinda tuzo hiyo baada ya kuwaangusha kipa wa Mali, Djigui Diarra na kiungo mzawa, Jonás Mkude alioingia nao Fainali na kwa ushindi huo atapatiwa kitita en cha Sh. Milioni 3 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya NIC Insurance
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: