Mon, 16 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amesema hawatabeba ubingwa wa Ligi kuu England msimu huu baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Manchester United.
Guardiola ameipa Arsenal nafasi kubwa ya kubeba ubingwa baada ya kupoteza point tatu muhimu katika Uwanja wa Old Trafford dhid ya wapinzani wao.
Kocha huyo akizungumzia baada ya mchezo huo wa Manchester Derby, Guardiola alisema ubingwa Msimu huu Mashabiki wasahau.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live