Arsenal mnamuelewa kweli Pep Guardiola na Jeshi lake ? Yupo mlangoni mwako akihitaji kufahamu unaijua Ligi ya Ubingwa wa(EPL)?
Waulize Liverpool ya Jurgen Klopp, zaidi ya mara moja waliishia kusoma maandishi ya nyuma ya jezi ya Man City mpaka siku ya mwisho
Sasa uwanja ni kati ya Arsenal dhidi Manchester City nani atakuwa Bingwa wa msimu huu 2022/23.
Pointi 4 mbele ya Bingwa mtetezi ni ndogo sana hususani ukiangalia Man City ana mchezo mmoja mkononi na wiki ijayo wanakutana Aliye nafasi ya kwanza na aliye nafasi ya pili
Manchester City Vs Arsenal FC
Date. 26. April
Uwanja (Etihad Stadium)