Baada ya hapo jana kocha wa Liverpool kutangaza kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu, leo kocha wa Man city Pep Guardiola amevunja ukimya akisema ataendelea kusalia Man city na ataongeza mkataba baada ya mkataba wake wa mwaka mmoja uliosalia kuisha
Baada ya hapo jana kocha wa Liverpool kutangaza kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu, leo kocha wa Man city Pep Guardiola amevunja ukimya akisema ataendelea kusalia Man city na ataongeza mkataba baada ya mkataba wake wa mwaka mmoja uliosalia kuisha Kuhusu kuondoka kwa Klopp, Pep amesema kuwa kwa sasa atalala usingizi mzuri kwani Klop alikuwa ni mshindani mgumu kuwahi kuwa naye katika maisha yake ya mpira.