Mon, 27 Nov 2023
Chanzo: Mwanaspoti
Winga wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann amethibitisha kuwa haondoki Atlético licha ya kuhusishwa na Man United.
Akithibitisha Griezman anasema;
"Lazima nijishindie makombe mengi ili niwe gwiji katika klabu hii. Hiyo ndiyo dhamira yangu”.
"Kufikia 2024 ninataka kuleta furaha kwa mashabiki na jina la Atlético. Hii ni ndoto yangu”.
Chanzo: Mwanaspoti