Tue, 20 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Inadaiwa aliyekuwa Kocha wa Simba SC, Didier Gomes Da Rosa amekuwa miongoni mwa makocha waliyotuma CV kwenye Klabu ya Yanga akiomba kukabidhiwa mikoba ya Nabi.
Inadaiwa aliyekuwa Kocha wa Simba SC, Didier Gomes Da Rosa amekuwa miongoni mwa makocha waliyotuma CV kwenye Klabu ya Yanga akiomba kukabidhiwa mikoba ya Nabi. Gomes aliachana na Simba SC Oktoba 26, 2021 siku chache tu baada ya Mnyama kuondoshwa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kichapo cha magoli 3-1 dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Botswana Benjamin Mkapa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: