Wed, 16 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Hilal imefikia makubaliano na Sevilla juu ya kumsajili golikipa Yassine Bono kwa ada ya €19m pamoja na nyongeza ya €21m.
Muda huu yanafanyika makubaliano juu ya manufaa binafsi ya kipa huyo na Klabu.
Yassine Bono alifanya vyema katika michuano ya Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar akiwa na Morocco.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live