Wed, 7 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Golikipa wa Brentford Mark Flekken (30) ndiye kipa wa kwanza msimu huu kutoa pasi ya goli (asisti) katika Ligi Kuu.
Golikipa wa Brentford Mark Flekken (30) ndiye kipa wa kwanza msimu huu kutoa pasi ya goli (asisti) katika Ligi Kuu. Alifanya hivyo Kwenye mchezo dhidi ya Manchester City, bao alilofunga Neal Maupay.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live