Wed, 15 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Golikipa wa timu ya Taifa ya Zimbabwe na Klabu ya Super Sport United, George Chigova (32) amefariki dunia baada ya kuugua maradhi ya moyo kuanzia mwezi Julai alipopatwa mshtuko wa moyo na hakuwahi kupona mpaka mauti yanamfika.
Golikipa wa timu ya Taifa ya Zimbabwe na Klabu ya Super Sport United, George Chigova (32) amefariki dunia baada ya kuugua maradhi ya moyo kuanzia mwezi Julai alipopatwa mshtuko wa moyo na hakuwahi kupona mpaka mauti yanamfika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live