Wed, 13 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Golikipa wa timu ya Taifa ya Tanzania Kwesi Kawawa (22) amejiunga na klabu ya Syrianska FC inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu Nchini Sweden
Golikipa wa timu ya Taifa ya Tanzania Kwesi Kawawa (22) amejiunga na klabu ya Syrianska FC inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu Nchini Sweden Kawawa amejiunga na klabu hiyo akitokea Karlslunds IF ambayo pia ni ya nchini Sweden.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live