Thu, 13 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Golikipa wa Kagera Sugar Alain Ngeleka ameomba kuvunja mkataba wake na klabu hiyo.
Golikipa wa Kagera Sugar Alain Ngeleka ameomba kuvunja mkataba wake na klabu hiyo. Mazungumzo ya pande zote mbili yanaendelea. Mkataba wake na klabu hiyo unamalizika 2025.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live