Klabu ya Girona baada ya kumaliza nafasi nne za juu Laliga na kupata uhakika wa kushiriki UEFA msimu ujao , wameanza kuboresha kikosi chao na usajili wa kwanza wamependekeza jina la nyota wa Senegal anayecheza Al Nassr ya Saudia ,Sadio Mane
Klabu ya Girona baada ya kumaliza nafasi nne za juu Laliga na kupata uhakika wa kushiriki UEFA msimu ujao , wameanza kuboresha kikosi chao na usajili wa kwanza wamependekeza jina la nyota wa Senegal anayecheza Al Nassr ya Saudia ,Sadio Mane Dau la uhamisho na mshahara vinaweza kuwa changamoto kwenye kukamilisha dili hili kwa sababu mchezaji huyo analipwa kiwango kikubwa cha pesa Saudia.