Mon, 15 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Ghana, The Black Stars imeanza vibaya michuano ya AFCON 2023 kufuatia kipigo cha 2-1 dhidi ya Cape Verde katika mchezo wa kundi B.
Mpaka sasa msimamo wa Kundi B umesimama nama hii;
MSIMAMO KUNDI B
Cape Verde -3
Msumbiji -1
Misri -1
Ghana -0
Chanzo: www.tanzaniaweb.live