Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Yanga wakijiandaa kuivaa Ihefu leo Machi 12 katika Uwanja wa Azam Complex Jiji Dar es Salaam.
Mchambuzi wa michezo kutoka kituo cha Efm Geoff Lea amesema watu wasitarajie kuiona Ihefu ikipata matokeo kama ilivyokuwa katika mchezo wa mzunguko wa kwanza ambapo Yanga walikubali kichapo cha mabao 2-1.
Akizungumza Geoff kupitia kipindi cha Sports Headquarters anasema;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: