Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Geita Gold FC, imekamilisha usajili wa mlinzi raia wa Ghana, Daniel Adrian Adjetey mwenye umri 23,
Daniel Adrian Adjetey alishawahi kucheza Naestved (Denmark) na Daugavpilis (Lativia) lakini pia alicheza kwenye timu ya vijana ya U-20 Palmeiras ya Brazil.
Daniel Adrian ataitumikia Geita Gold FC, kuanzia mzunguuko wa pili wa ligi baada ya dirisha dogo la usajili kufunguliwa Desemba 15.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live