Wed, 16 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Geita Gold FC imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbogo Maji, Ihefu FC katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara uliopigwa katika dimba la Highland Estate.
Elias Maguri anakuwa mfungaji wa kwanza wa bao la Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara msimu wa 2023/24.
Wachimba dhahabu wamekwea kwenye usukani wa msimamo wa Ligi huku Mbogo Maji wakiteremka mkiani mwa msimamo huo baada ya mechi moja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: