Sat, 8 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Yusuph Dunia amejiunga na klabu ya Geita Gold baada ya kumalizika kwa mkataba wake na Kagera Sugar.
Yusuph Dunia amejiunga na klabu ya Geita Gold baada ya kumalizika kwa mkataba wake na Kagera Sugar. Yusuph aliwahi kuitumikia Gwambina kabla ya kujiunga na Kagera sugar 2021.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live