Mon, 20 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Klabu ya Barcelona ,Pablo Gavi amepata majeraha ya kifundo cha mguu (Enka) ambayo yatamfanya kukaa nje ya uwanja kwa mda wa miezi 6-8.
Kiungo wa Klabu ya Barcelona ,Pablo Gavi amepata majeraha ya kifundo cha mguu (Enka) ambayo yatamfanya kukaa nje ya uwanja kwa mda wa miezi 6-8. Jeraha hilo alilipata akiwa kwenye majukumu ya Kitaifa na timu yake ya Taifa ya Uhispania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live