Wed, 22 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa zamani wa AC Milan, Napoli Gennaro Ivan Gattuso wamekaribia kufikia makubaliano na Klabu ya Al-Taawoun ya Saudia.
Gattuso anatarajiwa kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo!
Gattuso anatarajiwa kulipwa zaidi ya €20M kwa msimu sawa na BILIONI 56,29 za kibongo!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live