Wed, 27 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Olympique Marseille inajiandaa kumteua kiungo wa zamani wa klabu ya AC Milan Gennaro Gattuso kuwa kocha wao mkuu mpya.
Klabu ya Olympique Marseille inajiandaa kumteua kiungo wa zamani wa klabu ya AC Milan Gennaro Gattuso kuwa kocha wao mkuu mpya. Tayari Gattuso amekubali kuwa kocha wa klabu hiyo, kama ilivyoripotiwa na Foot Mercato siku ya Jana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live