Mon, 19 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Naona kwa mbali hivi watu kama wanataka kuongeza sauti hivi kuhusu jamaa lakini kama wanasikilizia hivi...!
Gamondi anauliza mnataka pesa (Matokeo) , au mnataka dua (Performance, sub na selection)? Kuna kipindi alikuwa anawapa vyote viwili tena kwa wingi lakini saivi mnapata kimoja kingine mnasamehe kwanza.
Au ndio apatikane wa kuleta vyote kama jamaa akiendelea hivi... Au zilikuwa jazba za mechi 3 tu zile?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: