Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa vyovyote vile, leo Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi atashika kalamu na karatasi kwa ajili ya kumsoma mpinzani wake kwenye mechi za Klabu Bingwa, CR Belouzdad.
Belouizdad leo atashuka dimbani katika mechi ya Ligi Kuu ya nchini Algeria kupambana na Paradou.
Yanga atavaana anatarajia kuvaana na Belouizdad 'away' Novemba 24, 2023 ikiwa ni mechi ya kwanza ya hatua ya Makundi ya Klabu Bingwa Afrika.
Kwenye ligi yao, Belouizdad wapo nafasi ya 10 kwenye msimamo wakiwa na alama sita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live