Fri, 20 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amefika Uwanja wa Mkapa kushuhudia mechi ya kwanza African Football League ikiwakutanisha Simba na Al Ahly ya Misri.
Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amefika Uwanja wa Mkapa kushuhudia mechi ya kwanza African Football League ikiwakutanisha Simba na Al Ahly ya Misri. Yanga itakutana na Al Ahly katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika pia Simba itakutana katika mechi ya Ligi Kuu Novemba mwaka huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: