Wed, 6 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa kutoka ndani ya Klabu Yanga zinadai kuwa Kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi amependekeza wachezaji wafuatao wakimataifa wapigwe panga kwa sababu hawajaingia kwenye mfumo wake.
◉ Hafiz Konkoni
◉ Skudu Makudubela
◉ Jesus Moloko
◉ Gift Fred
Kupitia nafasi hizo nne zitakazoachwa wazi anataka usajili wa position hizi:
◉ Centre-forward
◉ Left winger
◉ Right Winger
◉ Cenre-midfielder
Wachezaji (3) wa kimataifa watasajiliwa katika dirisha dogo, mchezaji wa nne atasajiliwa dirisha kubwa. Inatajwa Moloko mwenye miezi (6) kwenye mkataba wake ataachwa dirislha kubwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live