Miguel Angel Gamondi amejua kutuumbua ambao tuliamini mbinu zake za kushambulia muda wote zinawaponza yanga SC kwenye CAF Champions League.
gamondi hakubadilika hata siku moja, lakini aliongeza umakini na utulivu kwa wachezaji wake wakaendea kumpa kitu bora ndani ya pitch.
Gamondi ni Pep Guardiola wa Bongo, anajua na ndiye amekuwa Master Plan wa mipango yote ya Yanga kutoboa robo fainali. Kwa sababu ubora wake na kuamini katika mbinu zake kumeibeba Yanga.
CR Belouizdad amewahi kufungwa 4-1 na 5-1 dhidi ya Mamelodi Sundowns lakini kafa 4-0 dhidi ya Yanga, aiseee hiki siyo kitu ya kuchukulia poa.