Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Gamondi agoma Gift Fredy kuondoka Yanga

Gift Gigy Gamondi agoma Gift Fredy kuondoka Yanga

Fri, 24 Nov 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Beki wa kati wa klabu ya Yanga, Gift Fred inatajwa kuwa bado yupo kwenye mipango ya muda mrefu ya Kocha wa Yanga Master Miguel Gamondi.

Miguel Gamondi anaamini kuwa Gift Fred ni future kwa klabu ya Yanga, amesisitiza kutoondolewa klabuni hapo.

Gift (25) amesajiliwa na Yanga msimu huu akitokea SCV Kampala ya nchini kwao Uganda lakini tangu ajiunge na Wananchi hajapata nafasi ya kuanza katika kikosi cha Gamondi.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live