Sun, 11 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amesema kuwa kwenye mchezo wao dhidi ya Simba SC kama isingekuwa Refa basi wangeshinda nyingi
"Tulifanya kile ambacho tunafanya mazoezini, hivi ndio namna tunafanya mazoezi yetu, nawapongeza Simba, nilisema wamebadilika lakini tuliendelea kuwa bora zaidi yao.
“Tungeweza kushinda kwa mabao mengi lakini kuna mambo yalitupunguzia ushindi wetu, nadhani kama waamuzi wangekuwa katika ubora wao mambo yangekuwa tofauti sasa tunaiangalia fainali ambayo nayo itakuwa ngumu."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live