Fri, 13 Oct 2023
Chanzo: Dar24
Aliyekuwa ‘kocha’ wa PSG msimu uliopita, Christopher Galtier ametangazwa kuwa ‘Kocha’ Mkuu wa ‘Klabu’ ya Al Duhail ya nchini Qatar akichukua mikoba ya Hernán Crespo.
Aliyekuwa ‘kocha’ wa PSG msimu uliopita, Christopher Galtier ametangazwa kuwa ‘Kocha’ Mkuu wa ‘Klabu’ ya Al Duhail ya nchini Qatar akichukua mikoba ya Hernán Crespo. Galtier, mwenye umri wa miaka 57 alishinda taji la Ligue 1 akiwa na PSG lakini alidumu kwa msimu mmoja tu katika ‘klabu’ hiyo.
Chanzo: Dar24