Thu, 2 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa zamani wa klabu ya Manchester City Gael Clichy ameeleza kuwa baada ya Pep Guardiola kuteuliwa kuwa kocha wa City (2016) alikutana na wachezaji wa Manchester City na kuwaambia kuwa wao ni wanene sana.
Nyota wa zamani wa klabu ya Manchester City Gael Clichy ameeleza kuwa baada ya Pep Guardiola kuteuliwa kuwa kocha wa City (2016) alikutana na wachezaji wa Manchester City na kuwaambia kuwa wao ni wanene sana. "Nimejua kuwa nakuja hapa takribani mwaka sasa.Na nilikuwa nawatazama timu yenu imejaa wachezaji wanene tupu." Maneno ya Pep Guardiola akiyanukuu Gael Clichy.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live