Thu, 7 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa zamani Azam FC, Yanga SC na Simba SC Gadiel Michael ameendelea kufanya vyema katika klabu ya Cape Town Spurs ya Afrika Kusini.
Gadiel amejiunga na kikosi hicho hivi karibuni akitokea Singida Fountain Gate ns mpaka sasa ameshafunga bao moja na kutoa pasi moja ya bao (Assist) na kucheza tatu kwenye Ligi Kuu ya Afrika Kusini ( PSL).
Dakika 90 vs Amazulu Dakika 90 vs Ts Galaxy Dakika 90 vs Orlando
Mechi: 3 Assist: 1 Bao: 1
Tazama video hapa chini;
Gadiel Michel First Goal ???? Orlando ????????
— Tanzania Footballers Abroad ???????? (@TzFootballers) March 6, 2024
2️⃣ matches
1️⃣Goal
1️⃣ assist
???????????????? pic.twitter.com/N91i5asOmx
Chanzo: www.tanzaniaweb.live