Wed, 17 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa pembeni wa klabu ya Singida Fountain Gate FC, Gadiel Michael amejiunga na klabu ya Cape Town inayoshiriki Ligi kuu nchini Afrika Kusini.
Mlinzi wa pembeni wa klabu ya Singida Fountain Gate FC, Gadiel Michael amejiunga na klabu ya Cape Town inayoshiriki Ligi kuu nchini Afrika Kusini. Gadiel Michael amecheza nusu msimu Singida Fountain Gate FC, baada ya kujiunga nao dirisha kubwa akitokea klabu ya Simba ya Dar Es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live