Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Huwenda hii ikawa ni habari njema kwa mashabiki wa Simba SC ambao walikuwa na shauku ya kumuona nyanda wao, Aishi Salum Manula anarejea kikosini.
Huwenda hii ikawa ni habari njema kwa mashabiki wa Simba SC ambao walikuwa na shauku ya kumuona nyanda wao, Aishi Salum Manula anarejea kikosini. Simba wametangaza rasmi kipa huyo mzoefu kikosini na namba moja, ameanza mazoezi na wenzake, Ayoub Lakred, Ally Salum na Hussein Abel.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live