Thu, 18 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanzilishi mwenda wa kampuni ya Sereto Physio Solution ya nchini Afrika Kusini, Sokhwela Sereto ameanza kazi rasmi Yanga SC.
Sereto alikuwa head of physiotherapy katika chuo kikuu cha Pretoria Nchini Afrika kusini. Chuo hicho pia kina timu ligi daraja la kwanza iitwayo @Matusk.
Mtaalamu huyo wa tiba za viungo na utimamu wa mwili (Physiotherapist) aliajiriwa na klabu ya Yanga kwa mkataba wa miaka (2) siku kadhaa zilizopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live