Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Fulham imefunga mabao 3+ katika mechi nne mfululizo za Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza tangu Oktoba 1961, ikifunga mabao mengi zaidi (14 katika mechi hizi nne), zaidi ya mara ya mwisho ilipofanya hivyo katika mechi nne mfululizo na kufunga jumla ya mabao 13.
Katika Mechi hizo Fulham imepata ushindi wa;
Fulham 3-2 Wolves
Liverpool 4-3 Fulham
Fulham 5-0 Nottingham
Fulham 5-0 West Ham
Chanzo: www.tanzaniaweb.live