Mon, 27 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Pichani ni Francesco Camarda ambaye amezaliwa 10/03/2008.
Jana ameweka rekodi katika klabu ya AC Milan katika mchezo dhidi ya Fiorentina ya kuwa mchezaji mdogo zaidi kuichezea Ac Milan akiwa na miaka 15 na siku 260.
Mara ya mwisho mchezaji mwenye umri mdogo kuichezea AC Milan ni Gigi Donnaruma mwaka 2016 akicheza na umri wa miaka 16 dhidi ya Sassuolo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live