Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa juu wa klabu ya Fountain Gate inayoshiriki Championship umefanya mabadiliko kwa kuachana na waliokuwa wakufunzi wao Athuman Cairo na Msaidizi wake Boniphace Kiwale,
Uongozi wa juu wa klabu ya Fountain Gate inayoshiriki Championship umefanya mabadiliko kwa kuachana na waliokuwa wakufunzi wao Athuman Cairo na Msaidizi wake Boniphace Kiwale, Pia Uongozi wa klab ya Fga Umemteua Bwana Mohamed Kambi kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa klab hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live