Timu va Wasichana ya Shule ya Fountain Gate chini ya umri wa miaka 15, inatarajiwa kuondoka nchini Aprili Pili kuelekea Afrika Kusini kwa aili ya Mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa shule za Sekondari.
Timu va Wasichana ya Shule ya Fountain Gate chini ya umri wa miaka 15, inatarajiwa kuondoka nchini Aprili Pili kuelekea Afrika Kusini kwa aili ya Mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa shule za Sekondari. Fountain Gate inakwenda katika Mashindajo hayo baada ya kufanikiwa kuwa Mabingwa wa Ukanda wa CECAFA kwa shule za Sekondari kwenye mashindano yaliyofanyika mwezi Febuari mwaka huu katika Viwanja vya Chamazi.