Sat, 2 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa Chelsea Mauricio Pochettino amethibitisha kuwa Wesley Fofana hatopatikana ndani ya msimu huu na badala yake atarejea msimu ujao.
Kocha mkuu wa Chelsea Mauricio Pochettino amethibitisha kuwa Wesley Fofana hatopatikana ndani ya msimu huu na badala yake atarejea msimu ujao. Wesley Fofana moja ya wachezaji wenye rekodi mbaya za Majeraha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live