Sun, 9 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakala wa Sofyan Amrabat anasema klabu yake Fiorentina iko tayari kusikiliza ofa msimu huu na kwamba Manchester United ilitoa ofa kwa kiungo huyo wa Morocco, 26, mwezi Januari.
Wakala wa Sofyan Amrabat anasema klabu yake Fiorentina iko tayari kusikiliza ofa msimu huu na kwamba Manchester United ilitoa ofa kwa kiungo huyo wa Morocco, 26, mwezi Januari. Amrabat anawindwa na vialabu vingi Barani Ulaya baada ya kung'ara na timu ya Taifa ya Morocco katika Michuano ya Kombe la Dunia 2022 iliyofanyika Qatar.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live