Fri, 15 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinda lango wa Ihefu FC, Fikirini Bakari amefungiwa michezo mitatu na kutozwa faini ya shilingi milioni moja kwa kosa la kumpiga kwa makusudi mtoto muokota mipira (ball kid) kwa kutumia mpira.
Mlinda lango wa Ihefu FC, Fikirini Bakari amefungiwa michezo mitatu na kutozwa faini ya shilingi milioni moja kwa kosa la kumpiga kwa makusudi mtoto muokota mipira (ball kid) kwa kutumia mpira. Kitendo hicho kilitokea kwenye uwanja wa Majaliwa mkoani Lindi wakati Ihefu ikicheza na Namungo FC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live