Mon, 23 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Poland wapo kwenye mpango wa kumuajili Fernando Santos kama kocha mkuu mpya wa timu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2026.
Poland wapo kwenye mpango wa kumuajili Fernando Santos kama kocha mkuu mpya wa timu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2026. Fernando Santos aliwahi kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Ureno na aliondolewa kutokana na matokeo mabaya ya timu hiyo Katika Kombe la Dunia Qatar 2022.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live