Mon, 8 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Fenerbahce ilianzisha wachezaji wake wa U-19, sekunde ya 50 ya mchezo Galatasaray ikapata bao ,baada ya goli wachezaji wa Fenerbahce wakatoka uwanjani Galatasaray kutawazwa Mabingwa wa kombe hilo
Baada ya hapo Galatasaray ikaingiza wachezaji wao wa akiba wanakipiga kama mazoezi
Huu ni ujumbe wa Fenerbahce kwa Shirikisho lao TFF kufuatia sintofahamu iliyotokea kwenye mchezo wao wa nyuma ,shabiki kuvamia uwanja na kupiga wachezaji
Msimamo wao ni haki itendeke laasivyo watajitoa kwenye Ligi kuu Uturuki na mashindano yote.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live