Tue, 19 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Fenerbahce imetangaza kuwa watajiondoa katika ligi kuu ya nchini Uturuki kama tukio la kushambuliwa Kwa wachezaji wao kwenye mchezo wa wikiendi iliyopita na mashabiki wa Klabu ya Trabzonspor halitatolewa maamuzi ya haraka na shirikisho la mpira wa miguu nchini humo (TFF).
Klabu ya Fenerbahce imetangaza kuwa watajiondoa katika ligi kuu ya nchini Uturuki kama tukio la kushambuliwa Kwa wachezaji wao kwenye mchezo wa wikiendi iliyopita na mashabiki wa Klabu ya Trabzonspor halitatolewa maamuzi ya haraka na shirikisho la mpira wa miguu nchini humo (TFF).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live